mawazomgala
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 342
- 212
jamani aliyewahi kuagiza mzigo kutoka ebay mzigo ukifika unaenda kuchukulia wapi, msaada wakuu maana hii ni mara yangu ya kwanza.
Wao watakupa tracking namba ya kampuni ya usafirishaji waliotumia,kama UPS au FEDEX kisha uta track we mwenyewe kwa kutumia simu yako,ukiona umeingia utaenda ofisini kwao kuchukua,au ukifika watakupigia simu uende.jamani aliyewahi kuagiza mzigo kutoka ebay mzigo ukifika unaenda kuchukulia wapi, msaada wakuu maana hii ni mara yangu ya kwanza.
Kuna Sehemu unaweka Address yako ya Posta na Pia Kuna Sehemu unachagua Shipping agent unayetaka kama Ni Fedex au DHL kwahiyo wao mdo watakutafuta wakishapata mzigo wakojamani aliyewahi kuagiza mzigo kutoka ebay mzigo ukifika unaenda kuchukulia wapi, msaada wakuu maana hii ni mara yangu ya kwanza.
jamani aliyewahi kuagiza mzigo kutoka ebay mzigo ukifika unaenda kuchukulia wapi, msaada wakuu maana hii ni mara yangu ya kwanza.
Ipi ni bora kati ya hizo mbili? Kama mzigo unatoka AlibabaKuna Sehemu unaweka Address yako ya Posta na Pia Kuna Sehemu unachagua Shipping agent unayetaka kama Ni Fedex au DHL kwahiyo wao mdo watakutafuta wakishapata mzigo wako
R!'^/_:Rr[b.+f}[8D?|
ofisi zao ziko wapi kwa dar mkuuWao watakupa tracking namba ya kampuni ya usafirishaji waliotumia,kama UPS au FEDEX kisha uta track we mwenyewe kwa kutumia simu yako,ukiona umeingia utaenda ofisini kwao kuchukua,au ukifika watakupigia simu uende.
Sent using Jamii Forums mobile app
yes kinakuja kama ulivyoagiza, na mzigo naona unapoelekea kwa stage zote,sema sijajua tu unapatikana wapi ukiwa umefikaNa je kitu unachoagiza kinakua kama ulivyoagiza?! Nataka kuagiza simu na laptop
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakata asilimia ngap mkuu mpaka iwe nusu ya bei?Kwa kawaida mzigo utatumwa kwenye anuani ya posta utakayoweka (p.o. box) Mara chache baadhi ya wauzaji wanatuma kwa DHL au FEDEX. Ofisi zao zipo ila sina uhakika kama zipo kila mkoa.
Mzigo utakuja kama ulivyouona kwenye picha ila ni muhimu sana usome vizuri maelezo kabla hujaagiza mzigo ili usije ukawa unataka kitu kipya ukanunua used. Vitu kama simu pia lazma usome kama iko locked n.k
Kumbuka mzigo ukifika utatakiwa kuulipia kodi zote stahiki ambazo kwa kawaida hukaribia nusu ya bei ya mzigo.