Hata mim naona, mim kipindi hicho nilikuwa na miaka 22 na watoto 4, aisee ilikuwa mbaya! mbaya! mweee!!!
Sasa umenikumbusha, kipindi naenda vitani niliacha mwanamke mmoja amejifungua mtoto wangu, enzi zile tulikuwa tunaishi pale Mzizima, (sasa ni Ocean road)...niliporudi nikakuta wamehama!
Bila shaka ni ww, Afadhali nimekuona!
Si ndio maana nimekukumbusha, ajabu nimekutafuta muda mrefu nikueleze habari za watoto wetu lakini sikukupata, sasa ujue watoto wetu wapo kwenye mpambano mkali, yule John yupo na El wananisumbua sana, kaa nao basi waambie mmoja amwachie haka ka nchi mwenzie tu. Hahahaha!
Tatizo wale hawajuani km ni ndg, halafu kuna mmoja alizaa na mwanamke mmoja huko Ntwara mtoto akaitwa Mnape yy alivo mjinga akamkataa!
Huyu mjukuu wangu nae ni km amelaaniwa maana anaropoka ropoka tu km mbwa kichaa😎
Nitakutana nao niwape usia, ila na ww mama yao uwepo!
Dah... Wajapan walikuwa na roho ngumu kiasi hiko kwanin? Yaan pamoja na mabomu yote hayo hawakusurrender???
Aisee shujaa Babu. Umri utakuwa umekukimbiza haswaa kama hadi saa hii "ukufuta"(UNAHEMA)..I was against Germany, yapo mengi sana niliyojifunza ila kubwa zaidi ni pale nilipokuwa Mwafrica wa kwanza kushika na kutumia silaha ya AK 47 mara tu baada ya kugunduliwa!
Wakati bomu la Hiroshima lilipotupwa mm nilikuwa UK na tuliletewa taarifa tukiwa kwny maandalizi ya kwenda kuishambuliwa nchi ya Burma!
Habari wakuu leo ni kumbukumbu ya miaka sabini tangu kuangushwa bomu la atomic huko Iroshima Japan na kuuwa watu wengi na kuacha madhara kwa baadhi ya vizazi. R i p waliopoteza maisha
kipindi kile ndio na balehe nilikua nasoma malangali middle school iringa. Kipindi kile ilikua kupata demu si mchezo hata changudoa ulitakiwa umtongoze kama wiki mbili hadi mwezi ndio uone ndani. Du vita ilikua ishaisha tar 30.04,45 wajerumani waliposarenda lkn wajapani chini ya mfalme wao waliomlinganisha na mungu walisema mpaka kieleweke. Ndio rais truman aliyeshika usa baada ya kifo cha fdr akamuita rubani mmoja aliyeitwa paul eliot jr akadondoshe hicho kitu cha siri walichoita little boy au mvulana mtundu. Na kweli jamaa alitokea kwenye cambi ya jeshi inaitwa whiteman akaenda na msaidizi wake kumdondosha little boy mjini hiroshima. Lilipotua ardhini kuliwaka mwanga mara mia zaidi ya mwanga wa jua, kukawa na kishindo kisichoelezeka ndio moto, kwa muda wa sekunde nusu mji wa hiroshima (zaidi ya kariakoo ) ukawa haupo tena, watu walikua wanaungua kama kuni kuanzia kwenye vidole kuelekea mwilini. Waliokufa pale pale lilipotua ni watu 140,000. Yaani kama wakazi wote wa mbeya na viunga vyake. Waliokua mbali kidogo kama kimara walikua ni nyama tupu hakuna mwenye ngozi. Waliopelekwa hospitalini ilikua balaa, watu wa tiba hawakutosha, walioungua walikua wanatoa mafunza na harufu ilikua balaa. Baada ya siku tatu truman akaagiza kitu ingine ikashushwe nagasaki hili waliliita fatman , liliua watu 80,000 elfu pale pale yaani zaidi ya wakazi woote wa singida na viunga vyake. Baada ya hilo mfalme hirohito akakubali yaishe. Truman aliamini kupiga bomu la atomic kutaokoa maisha ya wengi. Kwani vita ingeisha mapema. Ikumbukwe kabla mabomu haya hayajapigwa ndege za marekani zilidondosha vikaratasi kuwaomba wajapani wa sarende lkn wajapani walisema watu wazima hawatishiwi nyau.
walisarenda bana, ila kabla ya bomu ndio walisema mtu mzima hatishiwi nyau, nakumbuka na story ya vita ya vietnam, hawa wamarekani walidondosha bomu la kufyeka msitu ambapo miti yoote ililala na mitego yako kufyatuka, hivyo mviet akanyanyua mikono juu,
Acha uongo wewe.....Mviet hakuwahi kusarenda vita hiyo. Mmarekani ndiye aliyekimbia. Halafu mnavyoshabikia mmarekani anavyoua watu nawashangaa sana maana linapokuja suala la mwarabu kuua watu mnamwita gaidi. Dhambi ya kuua ni moja tu haijalishi nani kaua......
I was against Germany, yapo mengi sana niliyojifunza ila kubwa zaidi ni pale nilipokuwa Mwafrica wa kwanza kushika na kutumia silaha ya AK 47 mara tu baada ya kugunduliwa!
Wakati bomu la Hiroshima lilipotupwa mm nilikuwa UK na tuliletewa taarifa tukiwa kwny maandalizi ya kwenda kuishambuliwa nchi ya Burma!
kama walikuw awajazoea baridi,mbon kipigo kiliendelea mpaka kwao,au kwao pia awakuzoea baridni kwel mkuu bt ujeruman walishindwa kwa USSR c kwa sababu ussr ilikuwa more advaced on military power kuwazd wajeruman ni kwa sababu wajeruman awakuwa trained ktk vita vya kwenye cold wth snow ndicho ki2 kilifanya wajeruman warudiswe nyuma ktk mapambano bt jeruman walikuwa mbali sana on military tech mwaka 1939 tayal wanatekinolojia ya drones hata ndege ambayo ni most expnsv military plane B-2 bomber ya northrop ni techologia iliyoibiwa na us kwa ujeruman tayal miaka hyo ndo ilikuwa project yao na tayal ilikuwa imeshaanza kutengenezwa hawa jamaa wako vzr sana basi tuu pamoja na kupigwa na dunia bt stil ni namba 3 dunian kwa uchumi mkubwa ya 1 kwa ulaya inasemekama miaka ya 1939 tayal walikuwa na access na viumbe wa dunia nyngne yan ALLIENS na UFO
wahuni wamepindua historia kichwa chini miguu juu, ni kama ilivyo kwa tanzaniawar didnt end with the surrender of japan though...it was when the russian army enter berlin and take control of the statehouse
yupo sawa kuwaita magaidi, wale vibwengo wanaozaliwa mpaka leo hii kule japan ni sababu yao.Kwa hapo sidhani kama utakuwa sahihi kuiita USA kuwa taifa la kigaidi. Hapo ilikuwa ni kipindi cha vita na kama unavyojua vita ni vita tu. Lakini pia tukio hilo ndio lililosaidia vita hivyo (WWII) kuisha mapema !
kunaweza kuwa kwenu kukawa na gereji lakini usijue ata kushika spana nimesema ujerumani hawakuwa trained katk vita vya baridi na snow ni kama vile kupigana jangwani au porini inatakiwa kuwa trained leo aliezoea kupigana vita vya jangwani ukimpeleka Msitu wa amazon atashindwa au kupata tabu sana kuzoea yale mazingirakama walikuw awajazoea baridi,mbon kipigo kiliendelea mpaka kwao,au kwao pia awakuzoea barid