Swaga za 2017

the happiest man

JF-Expert Member
Nov 12, 2016
253
216
Mwanamke ntakaye kuwa naye mwaka huu 2017 awe tayari kwa yafuatayo...

1. akifika kwangu atakula kitakacho kuwepo na sio atakachotaka yeye.

2. kama anatumia pesa yangu kupendeza ile misuko ya kidoti,kinick minaj sijui asahau ni mwendo ya yeboyebo, yaani tunabandua yeboyebo tunaweka yeboyebo

3. kunipiga mizinga iwe ni kila baada ya mwezi mmoja...na sio kila baada siku 3.

4. mlimani city tutaenda kupunga upepo na kuenjoy A.C. tuu na sio shopping tena, shopping zetu kariakooo

5. Muda wa maongezi ntakuunganisha na kifurusha cha mwanachuo ili tuonane kwa ajili ya vocha kila mwisho wa wiki

kama baba magu anabana matumizi mimi ni nani hata nitumie pesa kama nazitengeneza mimi
 
mi nitakaye kuwa nae mwaka huu nataka awe ananipiga mizinga kila baada ya masaa 6, pengine itaniongezea hasira za ku-multiply cash, na awe tayari kwenda kavukavu mana nimechoka kutumia mipira,
 
mimi wangu ni yule yule wa since 1998 na mambo ni yale yale ila anahamu yakuona Twins wake Inshallah by 7/7/17
hilo ndio kubwa kwake mie hapa ni mwendo wa kudeka tuu...
 
Mwanamke ntakaye kuwa naye mwaka huu 2017 awe tayari kwa yafuatayo...

1. akifika kwangu atakula kitakacho kuwepo na sio atakachotaka yeye.

2. kama anatumia pesa yangu kupendeza ile misuko ya kidoti,kinick minaj sijui asahau ni mwendo ya yeboyebo, yaani tunabandua yeboyebo tunaweka yeboyebo

3. kunipiga mizinga iwe ni kila baada ya mwezi mmoja...na sio kila baada siku 3.

4. mlimani city tutaenda kupunga upepo na kuenjoy A.C. tuu na sio shopping tena, shopping zetu kariakooo

5. Muda wa maongezi ntakuunganisha na kifurusha cha mwanachuo ili tuonane kwa ajili ya vocha kila mwisho wa wiki

kama baba magu anabana matumizi mimi ni nani hata nitumie pesa kama nazitengeneza mimi
 
Mwanamke ntakaye kuwa naye mwaka huu 2017 awe tayari kwa yafuatayo...

1. akifika kwangu atakula kitakacho kuwepo na sio atakachotaka yeye.

2. kama anatumia pesa yangu kupendeza ile misuko ya kidoti,kinick minaj sijui asahau ni mwendo ya yeboyebo, yaani tunabandua yeboyebo tunaweka yeboyebo

3. kunipiga mizinga iwe ni kila baada ya mwezi mmoja...na sio kila baada siku 3.

4. mlimani city tutaenda kupunga upepo na kuenjoy A.C. tuu na sio shopping tena, shopping zetu kariakooo

5. Muda wa maongezi ntakuunganisha na kifurusha cha mwanachuo ili tuonane kwa ajili ya vocha kila mwisho wa wiki

kama baba magu anabana matumizi mimi ni nani hata nitumie pesa kama nazitengeneza mimi
hahahahahahahh mbona ya kawaida sana hayo mkuu atasuka yeboyebo ya 30000
 
Nakushauri hata daladala usipande, badala yake ununue baiskeli utumie ktk safari zako hapa mjini. Tena Baiskeli aina ya phonex ndio itakufaa zaid maana zinadumu sana.
 
Nakushauri hata daladala usipande, badala yake ununue baiskeli utumie ktk safari zako hapa mjini. Tena Baiskeli aina ya phonex ndio itakufaa zaid maana zinadumu sana.
ntafutie madalali wa baiskel maana itakuwa bei rahisi kidogo ili nibane matumize tena hapo
 
Back
Top Bottom