Suzuki carry for sale

Suzuki carry for sale

sunguraa

Member
Joined
Sep 19, 2009
Posts
18
Reaction score
0
Habari,
Nauza Suzuki carry bei 6.0M.
Ipo kwenye condition nzuri.
Ina Bima inayoisha Agust,2015 na kibali icha TRA kinachoisha July,2015.
Kama unahitaji please PM.
 

Attachments

  • IMG_3025.JPG
    IMG_3025.JPG
    556 KB · Views: 477
  • IMG_3027.JPG
    IMG_3027.JPG
    679.6 KB · Views: 480
  • IMG_3026.JPG
    IMG_3026.JPG
    404.9 KB · Views: 441
  • IMG_3028.JPG
    IMG_3028.JPG
    539.7 KB · Views: 493
Mkuu hiyo bei du........
 
Mkuu hiyo bei du........
Kiukweli hizi gari kwa sasa zimepanda sana....na huwezi kupata gari yenye engine bora kama hii,vibali,bima na tairi mpya kabisa..kiukweli gari ipo poa sana..karibuni wote.asante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom