The Alab
Member
- Jul 10, 2013
- 9
- 2
Habari wanaJF,
Me nipo chuo mwaka wa 1 ila nimeanzisha mradi wa ufugaji Nguruwe na pia natarajia kuanza na kuku, bata, mbuzi, kondoo kwa ajili ya kufanya supply yangu kwenye mahotel na migahawa mbalimbali.
Naomba trend ya soko kwa anayefahamu ili nijipange vizuri..
Asante.
Me nipo chuo mwaka wa 1 ila nimeanzisha mradi wa ufugaji Nguruwe na pia natarajia kuanza na kuku, bata, mbuzi, kondoo kwa ajili ya kufanya supply yangu kwenye mahotel na migahawa mbalimbali.
Naomba trend ya soko kwa anayefahamu ili nijipange vizuri..
Asante.