Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,961
Jana nilikua maeneo na bibie bas ikapigwa hii kitu,bibie akawa anaidakia dakia ikifika hyo sehem anaimba kwa tabasam,ikabid niskize kwa makin,kumbe ni upuuz mtu lahaulaa,..nkawa sjaelewa ndo bibie kunielewesha,.
Nkatahamak ,kumbe watoto hawa wakike wahuni hiv,kina maua sama
Na mwingne yule wa ninogeshe,watoto,wahuni hawa astakafurlai
Nkatahamak ,kumbe watoto hawa wakike wahuni hiv,kina maua sama
Na mwingne yule wa ninogeshe,watoto,wahuni hawa astakafurlai