Hiv hufahamu kama kunguru nae ana haki ya kuishi?Na tena MUNGU ametuagiza kutisha ndege,wanyama na vyote vyenye uhai?Mbaya zaid kama maliasil watakufahamu.
Dah kuwaua inabidi uwamalize wote ndio tatizo litaisha..........nenda ofisi za WCST wanatoa mitego ya kunguru ambayo ina sumu maalum ndani yake......muone ndugu Nyiti (WCST wako mkabala na Ubalizi wa Msumbiji baada tu ya PP Tower upande wa kulia kama unaenda Baharini)