sumsung galaxy tab 2 au tab 3

sirma

Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
33
Reaction score
3
natafuta sumsung galaxy tablet 2 au tab 3 original inayotumia sim card budget yangu ni 300,000 mwenye nayo ani pm au whatsap 0767251838 tufanye biashara.
 
natafuta sumsung galaxy tablet 2 au tab 3 original inayotumia sim card budget yangu ni 300,000 mwenye nayo ani pm au whatsap 0767251838 tufanye biashara.

Ongeza bajeti yako kwanza, hapo uko chini sana.
 
natafuta sumsung galaxy tablet 2 au tab 3 original inayotumia sim card budget yangu ni 300,000 mwenye nayo ani pm au whatsap 0767251838 tufanye biashara.

huwez pata kwa bei hyo.labda ilyo crack...
 
Dukani inauzwa laki 9 na nusu,nnayo Tab 3 ina kila kitu chake kwenye box nnataka laki 5.
 
tafta tab3 lite na change inabaki. ila sidhan kama zishaanza kufika tz maana wiki 3 zilizopita ndio imetokA
 
natafuta sumsung galaxy tablet 2 au tab 3 original inayotumia sim card budget yangu ni 300,000 mwenye nayo ani pm au whatsap 0767251838 tufanye biashara.

Subiri zilizopigwa na mateja kwenye magari na hazina chaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…