C codename Member Joined Feb 2, 2015 Posts 22 Reaction score 19 Jun 18, 2015 #1 Habari wakuu, kuna post SUMATRA walitangaza mwezi wa nne mwishoni, kulikua na position ya Shipping Officers, ivi washaita watu for interviews???
Habari wakuu, kuna post SUMATRA walitangaza mwezi wa nne mwishoni, kulikua na position ya Shipping Officers, ivi washaita watu for interviews???
M mundu m Senior Member Joined Jun 11, 2015 Posts 119 Reaction score 18 Jun 18, 2015 #2 Mimi pia niliomba tuendele kusubiri.
D Dixionel Member Joined Aug 12, 2012 Posts 13 Reaction score 0 Jun 18, 2015 #3 Hakuna sehemu ambayo hutumia muda mwingi kuita watu kama Sumatra ... Wakati mwingine hata miezi 6 Ndiyo unaitwa interview .... ...
Hakuna sehemu ambayo hutumia muda mwingi kuita watu kama Sumatra ... Wakati mwingine hata miezi 6 Ndiyo unaitwa interview .... ...
kijembeee JF-Expert Member Joined Jun 6, 2012 Posts 409 Reaction score 105 Jun 18, 2015 #4 hawa jamaa kuna kujuana kwingi sana, kama hauna refa pale ni shughuli kuingia, unaweza ukakuta ata watu washaanza kaz tayari....... mi napita
hawa jamaa kuna kujuana kwingi sana, kama hauna refa pale ni shughuli kuingia, unaweza ukakuta ata watu washaanza kaz tayari....... mi napita