Ngiama makanda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,098
- 1,810
huna unalojua kuhusu mpiraPale Yanga kwa sasa tuna huyu mtu Guede a.k.a sukari ya magendo sikujui anasubiri nini kufunga magoli, hapa naiona thank you guede mapema kabisa.
View attachment 2896575
Hebu sema kitu kubaya kumhusuKama hawezi kufunga basi tusifie hata mikimbio tu inatosha
Hivi nyie mnaangaliaje mpira mpaka mseme alivurunda? Kwamba kutokufunga goli ndio kuvurunda? Mbona alicheza zote 90? Hamkuona hold up play aliyokuwa anafanya? Mpvements zake km kushuka chini kutafuta mipira na kupanda?Huyu jamaa ile siku alivurunda kwelikweli
Hivi hii ndio mikimbio? πππMovements zake km kushuka chini kutafuta mipira na kupanda?
NDugu afisa maduhuri hiyo ndio mikimbio yenyewe. Bado hajawaonyesha kile xhenyewe mnachohitaji kukiona. Tukutane leoHivi hii ndio mikimbio? πππ
Asipoonyesha na leo, tukufanyajeNDugu afisa maduhuri hiyo ndio mikimbio yenyewe. Bado hajawaonyesha kile xhenyewe mnachohitaji kukiona. Tukutane leo
Welcome Yanga where you get uncountable number of enjoyments. Yan usikae ukasubiri mechi ya leo au ijayo mchezaji atafanya kitu fulani ndio maana mnawapa pressure wachezaji wanashindwa kufikia malengo. Leo kama atapata nafasi naamini utakua ni muendelezo wa kujenga confidence na imani kwa bench na mashabiki.Asipoonyesha na leo, tukufanyaje
Kila mtu na maono yake na uchambuzi wake ndgu, hasa kwa mchezaji mpya ambae kila mtu pia alikua na mategemeo yake juu yake, kuna vitu alitaka toka kwake, akivikosa lazima ajudge na akivipata lazima apongeze kama wewe.Hivi nyie mnaangaliaje mpira mpaka mseme alivurunda? Kwamba kutokufunga goli ndio kuvurunda? Mbona alicheza zote 90? Hamkuona hold up play aliyokuwa anafanya? Mpvements zake km kushuka chini kutafuta mipira na kupanda?
Nyie mnaangalia mpira kusubiri magoli tu? Jamaa yuko vyema sana ni suala la muda tu
Oooh sawa mkuu nimekupataKila mtu na maono yake na uchambuzi wake ndgu, hasa kwa mchezaji mpya ambae kila mtu pia alikua na mategemeo yake juu yake, kuna vitu alitaka toka kwake, akivikosa lazima ajudge na akivipata lazima apongeze kama wewe.
Eti Mwasibu, hivi unaonaje tukamuanzishia uzi wa Kihasibu huyu mchezaji, kama tulivyofanya kwa Stephane Aziz Kii?Kama hawezi kufunga basi tusifie hata mikimbio tu inatosha