huyu atakuwa kibonde wa clouds fmhana sifa mzee wa mistari. labda akija 50cent au Pdidy utamuona. wewe unafikiri sugu ataongea nini na Annan? vitu vingine hata havihitaji elimu ya chuo kikuu. Use just a common sense. Professor Mwandosya ndo size yako. Eti sugu! who is sugu by the way?
Ulisemalo ni kweli, what ever the case,Sugu ni mbunge wa mbeya mjini na anaaminiwa na wapiga kura wake, MENGINE YOTE NI WIVU TUImani yangu ni kwamba hiki siyo kijiwe cha wahuni lakini kuna watu bado wanajadili watu badala ya kujielekeza kwenye kujadili hoja.
Wanajf hii imenichanganya. Katika ziara ya Anan mkoani Mbeya sijamwona Sugu (Mbunge wa Mbeya mjini) bali makada wa CCM tu. Hii inaashiria nini......!!??
USA alikuwa anaongea kinyakyusa? English ni lugha ya kawaida sana.jamani sugu ni form 4 level wa pale sabasaba sec mtwara, kingereza chake ni cha kupapasa pasa tu, zaidi ya neno welcome hana sentensi hata moja nyingine. wangeongea nini ni yule mghana?? Jamani tusifananisha gundi na sumaku hapo sugu aliingia mitini mwenyewe tu
Form 4 siyo sababu kabisa! kwani lugha haihitaji hiyo form 4 unayosema. Kuna form 2 kibao wanaoongea kiinengereza,mie nilianzia primary.
So nadhani changia hoja tu kama una la kusema na siyo kuvuana nguo unnecessarily. Unajua baada ya kumaliza form 4 sugu alisoma nini tena? Unataka tuamini kuwa sug anakaa kwenu au shule na vyuo vyote njia iko kiwanjani kwenu so kwa kuwa hujamwona sugu akipita the hajaendelea kusoma? Tuongee hoja za kujenga siyo hizi za nani ana nini nani amevaaje,nani amekulaje... Tubadilike!!!!!!!!!!!!!!!
Anan amekuja kuassess wazungumzaji wa kingereza?jamani sugu ni form 4 level wa pale sabasaba sec mtwara, kingereza chake ni cha kupapasa pasa tu, zaidi ya neno welcome hana sentensi hata moja nyingine. wangeongea nini ni yule mghana?? Jamani tusifananisha gundi na sumaku hapo sugu aliingia mitini mwenyewe tu
Wanajf hii imenichanganya. Katika ziara ya Anan mkoani Mbeya sijamwona Sugu (Mbunge wa Mbeya mjini) bali makada wa CCM tu. Hii inaashiria nini......!!??
jamani sugu ni form 4 level wa pale sabasaba sec mtwara, kingereza chake ni cha kupapasa pasa tu, zaidi ya neno welcome hana sentensi hata moja nyingine. wangeongea nini ni yule mghana?? Jamani tusifananisha gundi na sumaku hapo sugu aliingia mitini mwenyewe tu
pia kumbuka waziri wa kilimo Prof. Magembe naye hakuwepo, nilimuona sijui Dakawa akimwangalia mkulu akipanda power tiller! Na Mh. Mbilinyi labda atakuwa alituma mwakilishi maana alikuwa na majukumu muhimu Iringa inavyoelekeaAnnan amekuja juu ya maswala ya mbegu na kilimo so sidhani alikuwa mgeni wa Mbeya mjini maana hakuna mashamba hapo.
Annan hakuwa mgeni wa Sugu
jamani sugu ni form 4 level wa pale sabasaba sec mtwara, kingereza chake ni cha kupapasa pasa tu, zaidi ya neno welcome hana sentensi hata moja nyingine. wangeongea nini ni yule mghana?? Jamani tusifananisha gundi na sumaku hapo sugu aliingia mitini mwenyewe tu
Huo ndio mwisho wako wa kumfahamu sugu. Na haimaanishi upo sahihi. Sugu ni form 6 leaver shule ya Iyunga. Wakikuwa wanakuja kucheza kikapu pale MTC sasahivi Mist.
Ngeli Kaka!!
jamani sugu ni form 4 level wa pale sabasaba sec mtwara, kingereza chake ni cha kupapasa pasa tu, zaidi ya neno welcome hana sentensi hata moja nyingine. wangeongea nini ni yule mghana?? Jamani tusifananisha gundi na sumaku hapo sugu aliingia mitini mwenyewe tu