Subwoofer ya gari inauzwa

Subwoofer ya gari inauzwa

God knows

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2011
Posts
276
Reaction score
173
Habari wanajamvi,

Nauza subwoofer ya gari (deochestra). Ina mziki mkubwa sana.

Ipo tayari kuunganishwa na radio yeyote ya gari na kuanza kutumika.

Bei: 100,000
Location: Dar (Posta)
Contact: PM

WhatsApp Image 2018-09-18 at 07.59.16.jpeg


WhatsApp Image 2018-09-18 at 07.59.18 (1).jpeg


WhatsApp Image 2018-09-18 at 07.59.17 (1).jpeg


WhatsApp Image 2018-09-18 at 07.59.17.jpeg
 
Hapa utapata wateja wengi
Maana JF wenye magari ni wengi mno vijana, mabinti na wazee.

All the best boss.
 
kwanini unaiuza,maana nyie vijana wa Posta hasa pale BP/PUMA janja janja nyingi sana

Nimepata mziki mwingine. Kwa hiyo sioni haja ya kukaa na mziki ambao siutumii.
 
Nimepata mziki mwingine. Kwa hiyo sioni haja ya kukaa na mziki ambao siutumii.
Okay.Sasa kama we umeona haufai ndo unataka kuhamishia kwa wengine.Jifunze kubana matumizi kijana,we usawa huu unafanya matumizi ya mamiziki kwenye magari.nyie ndio tunao watafuta
 
Okay.Sasa kama we umeona haufai ndo unataka kuhamishia kwa wengine.Jifunze kubana matumizi kijana,we usawa huu unafanya matumizi ya mamiziki kwenye magari.nyie ndio tunao watafuta
😀😀😀😀😀

Wateja watakuja inbox
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom