Submita kata Umeme

Joined
Oct 24, 2018
Posts
49
Reaction score
65
Tumia unit zako mwenyewe bila kushea na wengine.
Je unaishi kwenye nyumba ya kupanga na kuna changamoto ya matumizi Umeme?

Au wewe ni mmiliki wa Nyumba za kupangisha na kila siku watu wanagombana kwa sababu ya Umeme?

Basi suluhisho limepatikana. Fungia kila mpqngaji Submita ya kisasa... kila mmoja Atatumia unit zake kulingana pesa yake. Akimaliza Umeme wake ukiisha tu umeme utazimika kwake tu. Na wengine wanaendelea,
KUMBUKA
Vinafungwa Kuanzia Viwili
0757 838927
 

Attachments

  • 32670be5-9c39-4061-9c77-b0a0fb2fbb0b_0_1737674118600.jpeg
    429.1 KB · Views: 20
  • 20241203_092333.jpg
    668 KB · Views: 23
Napatikana Kariakoo. Mtaa wa lindi na congo. Kama upo Dar es salaam nakuletea na kukufungia. Karibu nikuhudumie.
 
Hapo kwenye kuanzia viwili maelezo tafadhari hujaeleweka.
 
kutaja bei ndio kipengele ndugu au wewe ni winga mwenye cheti veta upande wa umeme ?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…