Sio mzoefu wa magari ila kuna gari aina ya shbaru legacy inanivutia sana ila kumekuwa na maneno mengi kuhusu ulaji wa mafuta pamoja na spare nimelileta kwenu wataalam mnao faham vzr gar hizo naomba uzoefu wenu kwenye comment
Sio mzoefu wa magari ila kuna gari aina ya shbaru legacy inanivutia sana ila kumekuwa na maneno mengi kuhusu ulaji wa mafuta pamoja na spare nimelileta kwenu wataalam mnao faham vzr gar hizo naomba uzoefu wenu kwenye comment
Spare 🥴 .. kama utanunua yenye daraja zuri, haitokusumbua kwenye hilo eneo kwa mda mrefu.. ila muhimu kufanya preventive maintenance.. itakusaidia kuishi na hiyo gari na ina ya gari zingine pia..