Ni gari nzuri though kwa maoni ya wengi haina matumizi mazuri ya mafuta.Sio mzoefu wa magari ila kuna gari aina ya shbaru legacy inanivutia sana ila kumekuwa na maneno mengi kuhusu ulaji wa mafuta pamoja na spare nimelileta kwenu wataalam mnao faham vzr gar hizo naomba uzoefu wenu kwenye comment
Achana na maneno ya mtaani.Sio mzoefu wa magari ila kuna gari aina ya shbaru legacy inanivutia sana ila kumekuwa na maneno mengi kuhusu ulaji wa mafuta pamoja na spare nimelileta kwenu wataalam mnao faham vzr gar hizo naomba uzoefu wenu kwenye comment