Subaru forester namba D inahitajika

Subaru forester namba D inahitajika

Sixv2

Senior Member
Joined
Mar 4, 2014
Posts
170
Reaction score
97
Kama jumbe wangu unavyojieleza hapo juu, please anayeuza gari aina ya subaru forester jaman, aje dm tufanye bashara ila iwe number D. Na iwe kwenye hali nzuri.
 
Kama jumbe wangu unavyojieleza hapo juu, please anayeuza gari aina ya subaru forester jaman, aje dm tufanye bashara ila iwe number D. Na iwe kwenye hali nzuri.
wewe utakuwa wa Mwanza, hawa ndugu zake na bashite wanaamini kuwa gari kuwa na namba D ni mpya, whereas it is not, inaweza kuwa D lakini ni gari lilotoka kiwandani 2001, lakini inaweza kuwa A kumbe limetoka kiwandani 2008. msitafute magari kwa kutumia registration number, look for efficacy.
 
Back
Top Bottom