Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Huyo mzee na mwezie slim 5 nimewakuta kwenye uzi wa jamaa mmoja anafundisha jinsi ya kutongoza.. sasa naona anafanya practice hadi kwenye mali za watu.Apambane na gundu lake kwanza huyo alishasema mara nyingi eti me ni Bibi sasa anakujaje kwa Bibi akutane na manyama yaliyoshuka au
Huyo mzee na mwezie slim 5 nimewakuta kwenye uzi wa jamaa mmoja anafundisha jinzi ya kutongoza.. sasa naona anafanya practice hadi kwenye mali za watu.
Hahaha, bado niko vizuri mkuu,damu bado ya moto.Lori limekushinda achia ngazi mkuu
Ni kweli babe si unajua mapupu yalivyo laini laini
Kumbe mengine hayaliwiHazungumzii mapupu ya kula
Ahaha, mimi vitu kama hivyo vipo kwenye damu, sina haja ya kujifunza.babe we vipi haujajifunza huko
Kwanza unanishindwaje babe jamanHahaha, bado niko vizuri mkuu,damu bado ya moto.
Usiku babe tukirudiitabidi tupike usiku
Ahahhaha chizi weweKumbe mengine hayaliwi
EwaaaaaaAhaha, mimi vitu kama hivyo vipo kwenye damu, sina haja ya kujifunza.
NdiyoUsiku babe tukirudi
shuni tunakusubr kule weekend ndo hii mama
Mbona unapeperusha njiwa aiseeeHuyo mzee na mwezie slim 5 nimewakuta kwenye uzi wa jamaa mmoja anafundisha jinsi ya kutongoza.. sasa naona anafanya practice hadi kwenye mali za watu.
Si unajua usiku babe ndio vizuriNdiyo