KingKacha
Senior Member
- Jun 15, 2016
- 118
- 120
Wiki Juzi nikaenda Aga Khan nimcheki urologist lakini pia nkaenda Muhimbili. Ninatumia bima za Afya mbili ambazo ni NHIF na STRATEGIES. Sasa hawa jamaa wote nkawaona madaktar kwa pande zote mbili vitengo vya Urology.
Nimefika Muhimbili nkawaelezeaaaa wakanipa vipimo nkaenda maabara nkapima fresh yaan. Huku nilitumia NHIF
Nkaondoka kwenda Aga Khan nako nkaelezaaa wakaniandikia vipimo nkaenda maabara kupima. Huku nilitumia STRATEGIES. Nlichoshangaa wananiambia kuna vipimo bima haikavi... kipimo kama Semen Analysis ambacho gharama yake si kubwa na ambacho NHIF inakava wao hawakavi wanataka nilipe karibu laki 2. Nkashangaaa yaan.
Nawaombe i mjirekebishe na mpunguze exclusions.... kuna vitu ni muhimu sana kuviweka ikiwa bima itakuwa na lengo la kwanza kuhakikisha watu wanapata usalama wa afya. Mbona wenzenu NHIF wanakata hela kidogo tu na wanacover vitu vingi?
Nimefika Muhimbili nkawaelezeaaaa wakanipa vipimo nkaenda maabara nkapima fresh yaan. Huku nilitumia NHIF
Nkaondoka kwenda Aga Khan nako nkaelezaaa wakaniandikia vipimo nkaenda maabara kupima. Huku nilitumia STRATEGIES. Nlichoshangaa wananiambia kuna vipimo bima haikavi... kipimo kama Semen Analysis ambacho gharama yake si kubwa na ambacho NHIF inakava wao hawakavi wanataka nilipe karibu laki 2. Nkashangaaa yaan.
Nawaombe i mjirekebishe na mpunguze exclusions.... kuna vitu ni muhimu sana kuviweka ikiwa bima itakuwa na lengo la kwanza kuhakikisha watu wanapata usalama wa afya. Mbona wenzenu NHIF wanakata hela kidogo tu na wanacover vitu vingi?