Naomba kujua maana hasa ya hii aina ya network na naitumiaje kwenye mazingira yangu?
Nina MySQL Database nataka kuiongezea ukubwa wa kuhifadhi data nikapewa ushauri nitumie hiyo SAN sasa sijaifahamu ni kwa vipi hii technology inafanya kazi!!
Huo ushauri sio mzuri kwa kifupi, SAN ni concept, ni network maalumu ambayo kazi yake ni kudeal na storage na inaweza kuzipa mashine mbalimbali storage ambayo itaonekana kama disk kwa upande wa mashine ila inaweza ikawa ni device ambayo ipo sehemu tofauti kabisa kwenye network. Sana sana utajkuta kwenye makampuni ambayo yana uhitaji mkubwa wa storage ya kudumu.
Sijawahi kusikia kuwa solution ya kuwa na DB kubwa ni SAN, DB ambayo ina traffic ya ukweli inahitaji disk ya kutosha kuhifadhi data unazotaka, RAM ya kutosha kufit DB nzima kwenye RAM na CPU ya kutosha kulingana na transactions unazofanya.
Kama unaogopa disk kufa unaweza kutumia RAID na kuwa na DB server zaidi ya moja ambapo data zinakuwa replicated kila wakati.
Huo ushauri sio mzuri kwa kifupi, SAN ni concept, ni network maalumu ambayo kazi yake ni kudeal na storage na inaweza kuzipa mashine mbalimbali storage ambayo itaonekana kama disk kwa upande wa mashine ila inaweza ikawa ni device ambayo ipo sehemu tofauti kabisa kwenye network. Sana sana utajkuta kwenye makampuni ambayo yana uhitaji mkubwa wa storage ya kudumu.
Sijawahi kusikia kuwa solution ya kuwa na DB kubwa ni SAN, DB ambayo ina traffic ya ukweli inahitaji disk ya kutosha kuhifadhi data unazotaka, RAM ya kutosha kufit DB nzima kwenye RAM na CPU ya kutosha kulingana na transactions unazofanya.
Kama unaogopa disk kufa unaweza kutumia RAID na kuwa na DB server zaidi ya moja ambapo data zinakuwa replicated kila wakati.
Huo ushauri sio mzuri kwa kifupi, SAN ni concept, ni network maalumu ambayo kazi yake ni kudeal na storage na inaweza kuzipa mashine mbalimbali storage ambayo itaonekana kama disk kwa upande wa mashine ila inaweza ikawa ni device ambayo ipo sehemu tofauti kabisa kwenye network. Sana sana utajkuta kwenye makampuni ambayo yana uhitaji mkubwa wa storage ya kudumu.
Sijawahi kusikia kuwa solution ya kuwa na DB kubwa ni SAN, DB ambayo ina traffic ya ukweli inahitaji disk ya kutosha kuhifadhi data unazotaka, RAM ya kutosha kufit DB nzima kwenye RAM na CPU ya kutosha kulingana na transactions unazofanya.
Kama unaogopa disk kufa unaweza kutumia RAID na kuwa na DB server zaidi ya moja ambapo data zinakuwa replicated kila wakati.
Huo ushauri sio mzuri kwa kifupi, SAN ni concept, ni network maalumu ambayo kazi yake ni kudeal na storage na inaweza kuzipa mashine mbalimbali storage ambayo itaonekana kama disk kwa upande wa mashine ila inaweza ikawa ni device ambayo ipo sehemu tofauti kabisa kwenye network. Sana sana utajkuta kwenye makampuni ambayo yana uhitaji mkubwa wa storage ya kudumu.
Sijawahi kusikia kuwa solution ya kuwa na DB kubwa ni SAN, DB ambayo ina traffic ya ukweli inahitaji disk ya kutosha kuhifadhi data unazotaka, RAM ya kutosha kufit DB nzima kwenye RAM na CPU ya kutosha kulingana na transactions unazofanya.
Kama unaogopa disk kufa unaweza kutumia RAID na kuwa na DB server zaidi ya moja ambapo data zinakuwa replicated kila wakati.