watakua wanarekodi ile move ya kova nyingine si aliambiwa na sugu kua arudi studio?ngoja tusubili labda itaeleweka
Habari imenikumbusha kipindi cha MIKINGAMO kilicho kua na ujumbe "MIKINGAMO ni sikio la umma tuambie nani yuko wapi na anafanyanini kulihujumu taifa nasi tutasema hewani na kwa wanao husika..."
Lete picha. Lakini inategemea ni video kwa ajili ya matumizi ya Ofisi husika. There is a need for more investigation on this!!
Gari ya serikali, Defender yenye usajili STJ 974 iko cocobeach imeleta wanakwaya ku-shoot video, imewaleta imewasubiri wamefanya shooting na sasa ninapoandika hii wanapakia mizigo yao kwenye gari tayar kwa safari ya kuondoka.
Haya ni matumizi sahihi ya haya magari? picha coming soon!
Lete picha. Lakini inategemea ni video kwa ajili ya matumizi ya Ofisi husika. There is a need for more investigation on this!!
Harufu ya udini!