Steve Barker ateuliwa kocha Mkuu Simba SC

Ila simba mnajitahidi sana kubadilisha makocha! Kama makocha ndiyo wangekuwa ni makombe, basi mpaka muda huu mngekuwa mna idadi kubwa zaidi kuliko timu nyingine yoyote ile kwenye ligi yetu.
 
Karibu Simba SC, Kocha Mkuu Steve Barker

View attachment 3517716
Nishaacha kushabikia Simba....huyo kocha mwezi March 2026 wanampiga chini pia,wakati huo michezaji ndio ileile mipoteza Chance za kufunga,mikosa utulivu wawapo jirani na lango la mpinzani, mibinafsi kina Mpanzu,na kibu D,
Simba Ina wachezaji wa bei rahisi na wanaoridhika mapema tofauti na wapinzani wao japo timu yao inabebwa na wachezaji watatu,ila wanajituma balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…