Kama anapiga pesa kimya kimya ni jambo zuri sana. Watanzania wanga sana walimfanyia uchawi Mbwana Samatta pale Aston Villa kutwa kwenye DM za wachezaji wenzake wanawatukana hawampi pasi Samatta hadi akaachwa msimu mmoja tu.
Ukiona unapiga pesa na Watanzania hawana muda na wewe ni jambo la kushukuru sio kusikitika.