State this is just a pretext - Tell us the agenda!

  • Thread starter Thread starter HT
  • Start date Start date
Ahaaa...! Inawezekana hii ikawa sehemu ya mchezo?




 
Last edited by a moderator:
Ukisikiliza hii video utaona kuwa, kutokana na Lipumba, kuwa Makubaliano yalikuwa ni yeye amuachie Kikwete ashinde ili mambo fulani waliyokubaliana Juu ya uenezaji wa uislam ayafanye JMK. Na kwamba sasa Kikwete (Bwana Mkubwa) amewaangusha. Je inawezekana hii ndiyo sababu mtu akifanya/akifanyiwa jambo akiwa Muislam reaction inakuwa tofauti na wengine ili "waislam wawe raia daraja la kwanza"?

Hii kitu ya Waislamu kuwa raia wa daraja la kwanza inanikumbusha Watu wasio waislam katika nchi za kiislam huwa daraja "B" kwa hiyo hutakiwa kulipa Jizya, kusilimu au kufa! What is hidden here? :A S-fire1:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…