Kisa tu kumuuliza nimeliniu lain nimenunua vocha kwa airtel money af ni very urgent issue..mbona gb zangu sipewi.aisee nimecheka mimi
Alikuwa kwenye fujo kivipi?Kisa tu kumuuliza nimeliniu lain nimenunua vocha kwa airtel money af ni very urgent issue..mbona gb zangu sipewi.
Afu alikua kwenye fujo
Nikikua nasikia fujo nyingi.. za kimbeaAlikuwa kwenye fujo kivipi?
Walikuwa wanapiga umbea ofisini hao, usiwe unapenda kuonyesha machozi yako mtoto wa kiume wewe atiiNikikua nasikia fujo nyingi.. za kimbea
Sikuonyesha bana si nilikua mwenyewe chumbani (nikiongea na simu hua najificha )Walikuwa wanapiga umbea ofisini hao, usiwe unapenda kuonyesha machozi yako mtoto wa kiume wewe atii
Hua siwez vumilia kufokewa bora unipige..Unalia tenaa akati wewe ndo boss wao
Kwamba
Sasa hapa si umeshatuambia sisiSikuonyesha bana si nilikua mwenyewe chumbani (nikiongea na simu hua najificha )
Daaah nishafeli kumbeSasa hapa si umeshatuambia sisi
Umeyumba sana mzee kakaDaaah nishafeli kumbe
Wewe wasemaIle ni kambaa tu aseme wameshindwana kwenye gharama za kurusha matangazo au mkataba bhasii...!!!
Kwanini mzee dada.?Umeyumba sana mzee kaka
Unadhani warembo watakuchukuliaje wakiona eti machozi yako karibu ukifokewa?Kwanini mzee dada.?
Duuuh swali gumu!Unadhani warembo watakuchukuliaje wakiona eti machozi yako karibu ukifokewa?
Najua, jitahidi uwe unajizuiaDuuuh swali gumu!
Lakini sio kupenda kwangu...
She inabidi anikubali tu hvio nilivyo...Najua, jitahidi uwe unajizuia