Stand United na kocha wenu mnatia aibu

motonkafu

JF-Expert Member
Dec 2, 2015
1,019
703
Hata kama mashabiki hawakumpenda huyu jamaa licha ya mafanikio makubwa alioipa stand kwani moja ya timu ambazo zipo kwenye nafasi nzuri tu ya msimamo wa VPL ila muonekano wa king cha wenu hauvutii ilo shati jeupe kila mechi namuona nalo, suruali haimpi heshima Leo buti lake limesogezwa kwenye kamera nimemuonea huruma. Kama hamjamlipa mshahara mlipeni basi akanunue nguo au mpeni jezi ya timu avae apendeze. Kina Kiemba, maguri, chanongo, selembe mpelekeni kocha wenu mtumbani akachague simpo baraka ndo zinaanzia apo. Uongozi wa stand mushemuni kocha mnunulieni ata suti apendeze.

Ni Mimi mkereketwa wa soka
 
wazungu si watu wa shobo sana kwenye mavazi besides makocha pia huwamo sehemu ya mgawo wa kits so huenda anaamua tu kuvaa kauka nikuvae
 
Patrick-Liewig.jpg
download (2).jpg
kocha.jpg
kocha.jpg
 
Afadhali kwa izi picha ndugu mi Nina bahati mbaya kila mechi namkuta na like shati jeupe
 
Hahahaha mkuu hii timu ni ya 4 kwa kuwa na ufadhili mnono ukiziondoa azam, yanga na simba.. Inadhaminiwa na Acacia gold mine kiasi cha 2bilion kwa msimu, kocha analipwa na mgodi, uwanja wa mgodi, msosi wa mgodi, jezi na vifaa vyote wananunuliwa na mgodi, wanakaa kwenye kambi za mgodi (Buzwagi) ambazo ni world standards kila facilities zipo, gym ya kisasa , swimming pool, uwanja wa kisasa ambao hata ucku una mataa ya ukweli, vyakula ndo usiseme.... Na bado ni mambulura!!!! Nilishangaa sana wachezaji walipotaka kugoma kukaa kwenye kambi za mgodi kisa wanataka wakakae hoteli (submarine hotel) ili wafanye umalaya tuuuu.. Tanzania tuna safari ndefu sana
 
Back
Top Bottom