ST.JOSEPH VS DIT collages of engineering

Ushahidi....ndugu yangu kamaliza degree ya computer engeneering akiwa na uppr 2 nd kashindwa kubadirsha screen ya laptop yangu iliyo pasuka.nikajiuliza "ni nini hichi!!!!" Nashaur DIT ndo wako vizuri zaid
Hakuna chuo wanachofundisha kubadilisha screen ya laptop wala kuifungua hiyo laptop. Ni juhudi zako tu binafsi kujua hivyo vitu.
 
Hiki ndio kitu sahihi st joseph lazima uende chuo kila siku,Upende au usipende utakuwa na discpline tu.
 
HUWEZI KUFANANISHA D.I.T NA ST.JOSEPH...D.I.T NI LEVEL NYINGINE...HAO.WAHINDI WA ST.JOSEPH WANASHINDWA HATA KULIPA MISHAHARA YA WAALIMU...PIA PASSING MARKS ZA KUINGIA ST. JOSEPH NI ZA CHINI SANA KULINGANISHA NA D.I.T...
 
Naona watu walikosa kz kwa issue zao binafsi sasa lawama kwa st.joseph .. chuo kina mapungufu yake ila sio kma mnavyodhani... anyway ukiwa upoupo 2 ujue utaishia kati au utamaliza afu unajiona umepoteza muda vyuo vyote viwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…