wana utaratibu mzuri tu pale, suala la hizo fedha sio la kuliwaza maana ukifika pale wakati wa ku sign boom unaweza ku deduct gharama zote ambazo loans board hawakulipii. na ndivyo wengi wanavyofanya.hiyo ni kwa direct cost na ada zinaazoongezeka, mfano mtu ambaye anasomea ualimu (Bsc ed) analipiwa 1.3M na bodi wakati ada ni 1.7M, hivyo hiyo 400k ukitaka unaweza ku deduct kwenye boom, the same kwa direct cost ambayo hapo ni 220k