Mi nipo Bukoba maisha yangu yote lakini hiyo shule siijui. Kama unajua ipo eneo gani au mmiliki wake ni nani niambie tu ntakusaidia kupata mawasiliano yao.
Mi nipo Bukoba maisha yangu yote lakini hiyo shule siijui. Kama unajua ipo eneo gani au mmiliki wake ni nani niambie tu ntakusaidia kupata mawasiliano yao.