LH XiV JF-Expert Member Nov 27, 2016 346 352 Jan 6, 2017 #1 Waungwana habari, kama kichwa kinavyosema, je ni kitanda kipi ni safi sana kuwa nacho ndani kipi unakuwa comfortable na je kiubora vimekaaje?
Waungwana habari, kama kichwa kinavyosema, je ni kitanda kipi ni safi sana kuwa nacho ndani kipi unakuwa comfortable na je kiubora vimekaaje?
imhotep JF-Expert Member Oct 13, 2012 55,710 87,769 Jan 6, 2017 #3 Bora ni kile ambacho hakipigi kelele mnapokuwa kwenye shughuli.
LH XiV JF-Expert Member Nov 27, 2016 346 352 Jan 6, 2017 Thread starter #4 imhotep said: Bora ni kile ambacho hakipigi kelele mnapokuwa kwenye shughuli. Click to expand... mkuu unawaza hayo tu hahahahaha
imhotep said: Bora ni kile ambacho hakipigi kelele mnapokuwa kwenye shughuli. Click to expand... mkuu unawaza hayo tu hahahahaha
imhotep JF-Expert Member Oct 13, 2012 55,710 87,769 Jan 6, 2017 #5 mido luly said: mkuu unawaza hayo tu hahahahaha Click to expand... Vitanda huwa vinakera vikiwa vinapiga kelele wakati wa shughuli,hasa ukizingatia mwenzako anakoroma saana baada ya shughuli nzito.
mido luly said: mkuu unawaza hayo tu hahahahaha Click to expand... Vitanda huwa vinakera vikiwa vinapiga kelele wakati wa shughuli,hasa ukizingatia mwenzako anakoroma saana baada ya shughuli nzito.
LH XiV JF-Expert Member Nov 27, 2016 346 352 Jan 6, 2017 Thread starter #6 imhotep said: Vitanda huwa vinakera vikiwa vinapiga kelele wakati wa shughuli,hasa ukizingatia mwenzako anakoroma saana baada ya shughuli nzito. Click to expand... kwa jinsi ilivo wewe ni wa kulala chini kitanda hakikufai
imhotep said: Vitanda huwa vinakera vikiwa vinapiga kelele wakati wa shughuli,hasa ukizingatia mwenzako anakoroma saana baada ya shughuli nzito. Click to expand... kwa jinsi ilivo wewe ni wa kulala chini kitanda hakikufai