LISSU usirudi mpaka dokta akuambie sasa rudi.. na urudi pale wasiojulikana wakijulikanaKatika mazingira ambayo Lissu alishambuliwa, akaponea chupu chupu kupoteza maisha, mpaka sasa hakuna aliyekamatwa wala kuhojiwa na vyombo vya dola, sio busara wala hekima kwa kiongozi yoyote wa serikali kupendekeza au kuamrisha Lissu kurudi nchini. Mnamtafutia nini Lissu?
Lisu arudi, kurudi kwake kuna manufaa mengi kuliko kubaki huko na kuendelea kushambulia akiwa njee ya nchi. Otherwise aombe political asylum kama nilivyowahi kutabiri huko mwanzo....
mtaumiasana shwain nyieUzuri wa awamu hii hai entertain UPUUZI. Mliweza kumjaza upepo Mbowe alipokiuka masharti ya Mahakama na mlishangilia sana alipokuwa huko Ulaya,kaamkaje na anaendeleaje saiz imekua ni jukum la yy na family yake. Kama mnaona kazi ya mbunge ni kuangaika Ulaya basi muda atakua mwalim mzuri sana.
Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Kama wewe ambavyo hujaguswa na chochote juu ya Lissu.Unaweza kuwasha kibereti kwa ajili ya Tundu Lisu, lkn nina uhakika 100% Tundu Lisu hatosumbuliwa wala kuguswa na chochote akisikia wewe na Familia yako yote mmefyekwa na moto utakao washa!
Busara ya spika alivokuwa kwenye matibabu ilitumika sasa amepona. Sasa kwan ndugai alivopona alibak uko uko ?Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu. Ndugai aliugua kidogo tu tukaombwa tumuombee kila wakati tukisistizwa kumuombea, huyu mwingine hata kuumwa haumwi tunaambiwa kumuombea kila siku. Je! Ingekuwa ni wao yamewapata haya Je! ni kweli wangesitishiwa ubunge wao? Sisi watanzania tumeisha fahamu ni nani alitekeleza shambulio dhidi ya lissu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli anatakiwa arudi kulitumikia taifa lake.... lakini tukio lake si dogo la kukurupuka tu kurudi kisa kapona wakati waliotaka kumuua hawajakatwa wala tetesi kuwa ni watu gani.Wanaomtia kicha lisu kuhusu kuendelea kuzulula Nje bila kibali huku akiwa ameshapona ni wapumbavu hawana akili hata Moja
Ebu jitafakarini wapumbavu nyie kauli ya kumtaka Mhe lisu kurejea nchini imekuja baada ya lisu kupona na kuanza ziara,sasa spika wa bunge amwache tu asimkumbushe majukumu yake na wajibu wake kama mbunge?
Hii kanuni haitungwi Kwa ajili ya lisu isipokuwa ipo siku nyingi sasa ni yeye arudi kuchapa Kazi zake Kwa sababu sasa walishindwa kumwadhibu Kwa sababu alitoka akiwa hoi bila kibali cha spika leo ni mzima arudi kosa la spika lipo wapi?
Mdanganyeni atajikuta yuko Nje ya uwanja kama hatatii ushauri tunaomshauri kurejea nchini ,na wala hoja ya kusema Usalama wake uko mashakani haina mashiko kwani anaomba uraisi kampeni atazifanyia wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena jambo mkuu inatakiwa tufike mahala tuelewe sio watu wanamtaka arudi wanamipango nae mibaya ila ni kuondoa dhana asije kuvuliwa ubunge kwa kufata sheria ionekane kaonewa watanzania unawaacha tz unaenda kuzurura ulaya kushtaki njoo nchini pambana wapigania uhuru wote hawakukumbilia kwa wazungu walipambana nchini kwao mpaka kikaeleweka mfano MandelaWatu wa ufipa mnataka aendelee kuvunja sheria ambazo bunge limezitunga halafu akiadhibiwa mseme anaonewa? Acheni kumuingiza matatizoni mwenwenu. Ina maana hata wewe ukae kazini kwako bila ruhusa kisa ulikuwa unaumwa halafu unaonekana unapiga misele kitaa boss wako akikufukuza kazi utasema kakuonea? Kuweni na fikra pevu.
Sent using Jamii Forums mobile app