Spika Ndugai: Lissu hana kibali cha kuishi nje ya nchi, amtaka arudi mara moja Tanzania

LISSU usirudi mpaka dokta akuambie sasa rudi.. na urudi pale wasiojulikana wakijulikana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtaumiasana shwain nyie


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Busara ya spika alivokuwa kwenye matibabu ilitumika sasa amepona. Sasa kwan ndugai alivopona alibak uko uko ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli anatakiwa arudi kulitumikia taifa lake.... lakini tukio lake si dogo la kukurupuka tu kurudi kisa kapona wakati waliotaka kumuua hawajakatwa wala tetesi kuwa ni watu gani.
Nadhani ni busara kuangalia usalama wake kwanza kabla ya kurudi nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi binafsi naona Lissu asirudi,, ubunge na uhai, uhai ni kitu muhimu sana, aombe tu hifadhi ya kisiasa ktika nch yoyote had ipite miaka mitano ndio arudi,
Kurudi wala sio ushujaa, nahis wabaya Wake jp hawajulikani, hatujui akirudi Safari hii watamfanyaje
 
Kama kweli SPEAKER atatendea haki wananchi wa Singida na WaTanzania wote ni kusoma sheria ya Bunge na kanuni za Bunge zinazohusu Mbunge kukosa sifa ya kuwa Mbunge.

Fikiria ameitangazia dunia kwamba yuko anadhulura Ulaya na kupiga show kwenye media, kwa nini asirudi nchini halafu atakuwa anaenda clinic kama wengine huko Hospitalini?

Tabia hii itakapoachwa baadae itakuwa ni utaratibu na itakuwa ni rejea.

Nadhani akirudi yeye na dreva wake itakuwa ni fursa hata vyombo anavyotuhumu havipelelezi vitaanzia kwake maana yeye na dreva wana kila kitu kuhusu tukio.

Kama watumishi hewa waliondolewa kwenye payroll kwa nini naye asiwe mtoro kazini kisha atolewe kwenye uwakilishi isitoshe muda umebaki kidogo aweze kuitembelea dunia nzima akisema chochote huko?

Nishauri mamlaka ya speaker ili asiache mwanya wa dhihaka afanye kama sheria na kanuni zinavyosema kwa Mbunge mtoro na kama zimekaa kimya tujue pia.

Nawasilisha
 
Umenena jambo mkuu inatakiwa tufike mahala tuelewe sio watu wanamtaka arudi wanamipango nae mibaya ila ni kuondoa dhana asije kuvuliwa ubunge kwa kufata sheria ionekane kaonewa watanzania unawaacha tz unaenda kuzurura ulaya kushtaki njoo nchini pambana wapigania uhuru wote hawakukumbilia kwa wazungu walipambana nchini kwao mpaka kikaeleweka mfano Mandela

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: e2n
Pascal Mayalla, Petro E. Mselewa ,

..hii hoja inawahusu wanasheria wetu hapa JF.

..Je, utoro wa TL unaanza kuhesabiwa lini?

..Je, alipokuwa Nairobi alikuwa mtoro?

..Je, alipokuwa Ubelgiji alikuwa mtoro?

..Je,Vikao alivyokosa kuhudhuria akiwa Ubelgiji ilikuwa kwa ruhusa ya Spika?

..Au, utoro wake unaanza kuhesabiwa wakati akizurura Uingereza, na Ubelgiji?

cc Nguruvi3, Zitto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…