I used to chop many kenyan girls .. How is that? They have small IQ?
Give us a break.
Madem wa kenya wanafagilia sana wanaume wa kitanzania . No
Wonderr mna chama cha kutetea wanaume wa kenya kwa sababu mnapigwa sana hamuwaridhishi kitandani.
I used to chop many kenyan girls .. How is that? They have small IQ?
Give us a break.
Madem wa kenya wanafagilia sana wanaume wa kitanzania . No
Wonderr mna chama cha kutetea wanaume wa kenya kwa sababu mnapigwa sana hamuwaridhishi kitandani.
Goaaaaalllll....Kenya wanapata goli la kwanza ni Allan Wanga anapiga kichwa maridadi baada ya kupokea majimaji safi kutoka wingi ya kushoto ilipigwa na David Owino...
Mkuu ndo maana makocha huwa wanafukuzwa, kocha ana mchango mkubwa sana kwenye ushindi, kwa kocha mzuri huwezi kumpanga bwana mdogo vile apige penati ya ushindi hata kama kwenye mazoezi alifanya vizuri wakati una wakongwe kama Ivo mwenyewe, pamoja na captain, inanikumbusha mechi moja ilikuwa ni Simba sijui na timu gani, Simba tukapata penati dakika za mwisho na tulihitaji ushindi badala ya wazoefu kama Nico Nyagawa kupiga ile penati wakampa bwana mdogo mnigeria alikuwa anaitwa Ikechuku, kilichofuata ni kukosa ushindi.