Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,266
- 108,256
Patashika ya mashindano ya CECAFA Senior Challege Cup kwa mwaka 2013 inatarajiwa kuanza tarehe 27 ya mwezi Novemba na kumalizika 12 mwezi Desemba.
Mashindano ya mwaka huu yanatarajiwa kufanyika nchini Kenya katika miji ya Nairobi, Mombasa na Kisumu na yakijumuisha jumla ya nchi 12, nchi 11 wanachama wa CECAFA na nchi ya Zambia ambayo ni mualikwa.
Chati hapo chini inaonesha makundi pamoja na ratiba ya mechi zote tokea hatua za awali hadi ile ya fainali, ratiba imezingatia muda kwa masaa ya Afrika ya Mashariki pamoja na viwanja vitavyotumika.
Kwa wale wapenzi wa soka, mechi hizi mtaweza kuzitazama kwa matangazo ya moja kwa moja kupitia luninga zenu kwenye vituo vya TBC1, SuperSport9 East, UBC au KBC...
[TABLE="width: 772"]
[TR]
[TD]27 November 2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]Zanzibar
[/TD]
[TD="align: center"]2 1[/TD]
[TD]
South Sudan[/TD]
[TD]Nyayo National Stadium[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]Kenya
[/TD]
[TD="align: center"]0 0[/TD]
[TD]
Ethiopia[/TD]
[TD]Nyayo National Stadium[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 772"]
[TR]
[TD]28 November 2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]Burundi
[/TD]
[TD="align: center"]2 0[/TD]
[TD]
Somalia[/TD]
[TD]Kenyatta Stadium[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]Tanzania
[/TD]
[TD="align: center"]1 1[/TD]
[TD]
Zambia[/TD]
[TD]Kenyatta Stadium[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
29 Novemba 2013
Sudan 3 - 0 Eritrea
Uganda 1 - 0 Rwanda
30 Novemba
Ethiopia 3 - 1 Zanzibar
S.Kusini 1 - 3 Kenya
1 Desemba
Somalia 0 - 1 Tanzania Bara
Zambia 1 - 0 Burundi
2 Desemba
Rwanda 0 - 1 Sudan
Eritrea 0 - 3 Uganda
3 Desemba
Sudan Kusini 0 - 2 Ethiopia
Kenya 2 - 0 Zanzibar
4 Desemba
Tanzania Bara 1 - 0 Burundi
Somalia 0 - 4 Zambia
5 Desemba
Rwanda 1 - 0 Eritrea
Sudan 0 - 1 Uganda
Baada ya ushindi dhidi ya Eritrea, Rwanda inaungana na Burundi kuingia Robo Fainali kwa nafasi ya mlango wa nyuma hivyo kukamilisha idadi ya timu nane kuelekea hatua hiyo.
Timu zilizoingia Robo Fainali ni Tanzania Bara, Rwanda, Burundi, Uganda, Kenya, Sudan, Ethiopia na Zambia.
Wakati timu za Zanzibar, Somalia, Eritrea na Sudan Kusini zimefungashwa virago.
Mechi za Robo Fainali
7 Desemba
Tanzania Bara 5 - 4 Uganda
Kenya 1 - 0 Rwanda
8 Desemba
Zambia 4 - 3 Burundi
Ethiopia 0 - 2 Sudan
Nusu Fainali
10 Desemba
Zambia 1 - 2 Sudan
Tanzania Bara 0 - 1 Kenya
Mshindi wa Tatu
12 Desemba
14:00 Zambia 7 - 6 Tanzania Bara
Fainali
12 Desemba
18:00 Kenya 2 - 0 Sudan
Mashindano ya mwaka huu yanatarajiwa kufanyika nchini Kenya katika miji ya Nairobi, Mombasa na Kisumu na yakijumuisha jumla ya nchi 12, nchi 11 wanachama wa CECAFA na nchi ya Zambia ambayo ni mualikwa.
Chati hapo chini inaonesha makundi pamoja na ratiba ya mechi zote tokea hatua za awali hadi ile ya fainali, ratiba imezingatia muda kwa masaa ya Afrika ya Mashariki pamoja na viwanja vitavyotumika.
Kwa wale wapenzi wa soka, mechi hizi mtaweza kuzitazama kwa matangazo ya moja kwa moja kupitia luninga zenu kwenye vituo vya TBC1, SuperSport9 East, UBC au KBC...
[TABLE="width: 772"]
[TR]
[TD]27 November 2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]Zanzibar
[TD="align: center"]2 1[/TD]
[TD]
[TD]Nyayo National Stadium[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]Kenya
[TD="align: center"]0 0[/TD]
[TD]
[TD]Nyayo National Stadium[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 772"]
[TR]
[TD]28 November 2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]Burundi
[TD="align: center"]2 0[/TD]
[TD]
[TD]Kenyatta Stadium[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]Tanzania
[TD="align: center"]1 1[/TD]
[TD]
[TD]Kenyatta Stadium[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
29 Novemba 2013
Sudan 3 - 0 Eritrea
Uganda 1 - 0 Rwanda
30 Novemba
Ethiopia 3 - 1 Zanzibar
S.Kusini 1 - 3 Kenya
1 Desemba
Somalia 0 - 1 Tanzania Bara
Zambia 1 - 0 Burundi
2 Desemba
Rwanda 0 - 1 Sudan
Eritrea 0 - 3 Uganda
3 Desemba
Sudan Kusini 0 - 2 Ethiopia
Kenya 2 - 0 Zanzibar
4 Desemba
Tanzania Bara 1 - 0 Burundi
Somalia 0 - 4 Zambia
5 Desemba
Rwanda 1 - 0 Eritrea
Sudan 0 - 1 Uganda
Baada ya ushindi dhidi ya Eritrea, Rwanda inaungana na Burundi kuingia Robo Fainali kwa nafasi ya mlango wa nyuma hivyo kukamilisha idadi ya timu nane kuelekea hatua hiyo.
Timu zilizoingia Robo Fainali ni Tanzania Bara, Rwanda, Burundi, Uganda, Kenya, Sudan, Ethiopia na Zambia.
Wakati timu za Zanzibar, Somalia, Eritrea na Sudan Kusini zimefungashwa virago.
Mechi za Robo Fainali
7 Desemba
Tanzania Bara 5 - 4 Uganda
Kenya 1 - 0 Rwanda
8 Desemba
Zambia 4 - 3 Burundi
Ethiopia 0 - 2 Sudan
Nusu Fainali
10 Desemba
Zambia 1 - 2 Sudan
Tanzania Bara 0 - 1 Kenya
Mshindi wa Tatu
12 Desemba
14:00 Zambia 7 - 6 Tanzania Bara
Fainali
12 Desemba
18:00 Kenya 2 - 0 Sudan