Sowah ametubu , aifolllow page ya Yanga Instagram

Sowah ametubu , aifolllow page ya Yanga Instagram

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
22,854
Reaction score
32,657
Mshambuliaji wa Simba SC Jonathan Sowah ameifollow page ya Yanga kwenye ukurasa wake wa Instagram , Sowah amefollow kurasa 768 miongoni mwa hizo kurasa ni pamoja na Klabu ya Yanga

Jonathan Sowah mara kadhaa amewahi kunukuliwa akisema Yanga ni nyumbani kwao na muda wowote atakuja kwenda.

Yawezekana Baada ya kutoa warning hapa JF .....kijana amesoma na kulijuwa kosa lake ...then Kai follow Yanga pale mjini Instagram

NB: bado Yanga hawajakusamehe ....hutafikisha goli 7 Hadi uondoke u-koloni
1754153795660.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Vijana wa utopolo wote sampuli yenu ni yule dogo alielia kwenye harusi ya ali kamwe
Changamoto sana
 
Back
Top Bottom