VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,481
- 1,450
Baada ya hali ya utata katika makubaliano ya amani kati ya DRC na AFC/M23, inasemekana mbinu za kijeshi zinatumiwa kwa ufasaha, na mpaka sasa, M23 ipo eneo lijulikanalo kama Lubumba.
Za chini ya carpet, zinaeleza kuwa mamluki kutoka Columbia wana hali ngumu, huku jeshi la Burundi likizidiwa nguvu.
Zilizopanguswa vumbi kabisa zitakujia hivi punde.
UPDATES:
Gitoga, Bibangwa,Rubuga,Masango ni vijiji vingine ambavyo vimeshakamatwa na M23.
Za chini ya carpet, zinaeleza kuwa mamluki kutoka Columbia wana hali ngumu, huku jeshi la Burundi likizidiwa nguvu.
Zilizopanguswa vumbi kabisa zitakujia hivi punde.
UPDATES:
Gitoga, Bibangwa,Rubuga,Masango ni vijiji vingine ambavyo vimeshakamatwa na M23.