Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
..nae ana mume mwingine?Najua.... Na Sauda nae ame move on...
Just asking.
..nae ana mume mwingine?Najua.... Na Sauda nae ame move on...
Hapana ndugu, niza Mhindi mmoja jamaake Fidahussein ana mguu mmoja mbovu wanamuitaga Sofia, alikuaga muagizaji wa mitumba maarufu na kiwanda chake cha kurepack mitumba kilikua pale opposite na VETA-keko kabla hajajenga lile gorofa pale.Mmiliki ni Fidahusein, pia ni mmiliki wa Africarriers Ltd
Mhindi Fida Hussein.wa AfricarrierWakuu ndani ya jiji la Dsm naona kuna hizi nyumba nyingi sana. Mmiliki wake ni nani?
Aisee hapa lazima msongo wa mawazo umkute dada yetu,sasa si nae aolewe na mume mwingine bana,tit for tat kwisha.Ngoja nianze kupiga jalamba naweza kupata bingo kwa huyu mdada.Sauda Simba sasa hivi Chabaka Kilumanga ana mke mwingine!
Ukiwa mlaji wa maharage wadhungu hawakufuati gym
Sauda*
..nae ana mume mwingine?
Just asking.
na ameolewa...wewe jeNajua.... Na Sauda nae ame move on...
na ameolewa...wewe je
Sauda Simba( Mama Maya) alikuwa akinivutia sana usomaji wake wa habari kipindi hicho, nampenda sana sijui yupo wapi sasa?Nimemkumbuka Sauda Simba Kilumanga.
yule aliyekuwa anatangaza english news night kali ITV?Nimemkumbuka Sauda Simba Kilumanga.
Sauda Simba sasa hivi Chabaka Kilumanga ana mke mwingine!
Sauda Simba( Mama Maya) alikuwa akinivutia sana usomaji wake wa habari kipindi hicho, nampenda sana sijui yupo wapi sasa?
yule aliyekuwa anatangaza english news night kali ITV?
Mmiliki ni Fidahusein, pia ni mmiliki wa Africarriers Ltd