Sometimes it hurts💔

Dfw_1k

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2024
Posts
1,518
Reaction score
3,028
Kwanini jamii ya Leo imekuwa na tabia ya kumhukumu mtu kiurahisi ?

Kwanini hampendi kusikiliza upande wa mtu wa pili bila kumhukumu🥺??

Kwanini mnashindwa kutambua kuwa kuna mambo mtu anayafanya sababu anapaswa kufanya sababu it's the only option left🙏to survive

Kwanini mnapenda downfall ya mtu🥲mtu akididimia ndo furaha kwenu

Kwanini mtu akifanya maovu mnachukulia advantage ya kumtagaza na kumpondea kwa watu aonekane mbaya💔💔kila kona

Mbona kwenye hii jamiii ukiachana na mtu anaenda kuwatangazia watu madhaifu Yako can't we just break up in peace

Kwanini mnapenda bodyshaming ( kumtukana mtu namna alivyoumbwa)mnachukulia huo udhaifu kama advantage mbn wembamba mnatukana 🥺it's not what we chose to be but it's what God wanted us to be

I know in life we make mistakes everyday.... Kuna makosa ya aibu tunafanya but when we change baada ya kutambua kosa jamii inatukumbusha
Why??????

Where do you want us to prove that we are not like the way we used to be ....tunapiga Goti kumuomba Mungu atusamehe ila Bado jamiii itahukumu .....

😔😔😔😔 Sometimes life is meaningless tunaishi tu siku ziende
 
Na Ndio Maana Halisi Ya Kuishi Na Ndio Maisha Hayo,,,Wakati Wewe Unapitia Hayo...Mwingine Anayapitia Yale Hakuna Kupoa...Maisha Ni Wewe Kwanza....Hayo Ya Wengine Achana Nayoo...Utapoteza Muda,,,Utaufedhehesha Moyo,,,Roho Na Nafsi...Utaonyong'eza Mwili Pia....Waja Hawaridhiki Hata Ufanye Nini,,,Hata Uwafanyie Nini....###IshiWeweUsiishiWaoUtapotea###....Sawa Mamii.....Jikaze...Inauma Ila Inabidi Uzoee...Na Ndio Ukubwa Huo...
 
"That's how life is, don't stress about it, it's all part of the journey... Kuwa kama rmimi Huwa nakosea ila sio makosa ya kwenda Mahakamani usiwe unajali sana hayo jali maisha yako Fanya kitu unapenda uishi kwa furaha
 
Tunapaswa tuelewe kila uamuzi mwema ama mwovu tunaoufanya una matokeo yake.

Kwa mfano: unapozini halafu ukapata UKIMWI, ukienda kutubu, Mungu atakusamehe dhambi lakini hatakuondolea UKIMWI.

Same applies kwenye maisha. Tujitahidi kuwa wema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…