Ivo vitanda kweli vizuri na viko sehem tulivu, watu wengi watapenda walalie. Lkn believe me kama umezoea tanda la ovyo ovyo, na sehemu yenye zogo, ukiekwa sehem kama hio itakuchkua hata mda wa wiki nzima ndo upate huo usingizi mnono. Mimi nakumbuka zamani age kama 20 ivi, nlienda kwa mkubwa flan alikua best wa uncle wangu, ambae anaishi UK, basi chumba nlokaribishwa kulala ilikua full ac. Sikulala mpk asubuhi, baridi hata bedcovers nlikua naona hazisaidii. Nshaizoea kwetu joto, na likizid waweza lala hata na chupi