Soma mkasa huu ulionikuta

Kumbe ndio wewe ngoja tufuatilie domain zako yaani umeiba pikipiki ya polisi halafu umekimbia na ilipopata ajali ukaiiba tena
 
Wewe ni MWIZI, JAMBAZI. Shenzi type!!!

Kwa hii sentensi hata huo ujasiri wa kukimbia wewe ni mwizi. Mbw.a wewe. Mie sipendi majizi kama wewe. Mxewwwwuuuu

"sikutaka iende polis maana sina kadi ya hiyo pkpk na pia namba za usajil si sahihi,"
hahaaa punguza hasira bhaas
 
Siku nyingine usikimbie pambana kiume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ni yale majizi ya Arusha. Tena jizi kongwe. Hivi hushangai,katika hali ya kawaida raia mwema anaweza kuruka hivyo vihunzi?
Haya ni yale majizi yanaibia watu vyombo vya moto halafu yanapeleka Kenya.
mxqweeeeeeu mleta uzi.
Usikute huwa mnaiba nae maana na wewe unaonekana kajizi jizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ni yale majizi ya Arusha. Tena jizi kongwe. Hivi hushangai,katika hali ya kawaida raia mwema anaweza kuruka hivyo vihunzi?
Haya ni yale majizi yanaibia watu vyombo vya moto halafu yanapeleka Kenya.
mxqweeeeeeu mleta uzi.
Yaan me mwenyewe ananipa mashaka maana kama pikipiki ni ya kwake kwa nini asiwe na kadi yake? Kwa nn usajili wa pikiki haueleweki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe ndio wewe ngoja tufuatilie domain zako yaani umeiba pikipiki ya polisi halafu umekimbia na ilipopata ajali ukaiiba tena
Hahahaaa umenifurahisha kafanyaje? Yaani ameiiba ikapatikana then akaiiba tena loh nomaaaaaa
 
Kwa maelezo uliyoyabandika hpa kama ni mbele ya mahakama moja kwa moja ww ni mwizi, pmja na kutuwekea bandiko hili lkn yapo mengne haujatueleza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni MWIZI, JAMBAZI. Shenzi type!!!

Kwa hii sentensi hata huo ujasiri wa kukimbia wewe ni mwizi. Mbw.a wewe. Mie sipendi majizi kama wewe. Mxewwwwuuuu

"sikutaka iende polis maana sina kadi ya hiyo pkpk na pia namba za usajil si sahihi,"
Mmi sio mwizi ,,,,mbwa mwenyewe n mamaako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…