Soma hii Live Chat mimi na mwanamke ninayemtaka ofisi moja, toeni maoni wazee

Wadau huyu manzi nafanyanae kazi ofisi moja kama kawaida nikamuanzishia mission target yangu niwenae ni settle ikiwezekana kuoa hapo baadae.

Nimemfanyia attempt kama mara mbili ajaeleweka kwasababu tumekua na ukaribu I like simplest things nikaanzisha haka ka live chart wote tukiwa tumekaa sehemu moja ofisini, hii ni account yangu ya WhatsApp naandika yeye anajibu, kwamajibu haya wazee toeni maoni basi

Kwavyote nilivyoandika nilikua namaanisha hapo.
View attachment 2780004
View attachment 2780005
Ulifanikiwa kupata chuo?
 
Wadau huyu manzi nafanyanae kazi ofisi moja kama kawaida nikamuanzishia mission target yangu niwenae ni settle ikiwezekana kuoa hapo baadae.

Nimemfanyia attempt kama mara mbili ajaeleweka kwasababu tumekua na ukaribu I like simplest things nikaanzisha haka ka live chart wote tukiwa tumekaa sehemu moja ofisini, hii ni account yangu ya WhatsApp naandika yeye anajibu, kwamajibu haya wazee toeni maoni basi

Kwavyote nilivyoandika nilikua namaanisha hapo.
View attachment 2780004
View attachment 2780005
Hapo hakuna mapenzi bali kuna biashara ya ngono inataka kufanyika.
Ukiona mwanamke anakuambia tafuta hela basi ujue anafanya biashara ya ngono.
Na ukijijitumua ukamuoa basi ndoa muda wowote inavunjika.
 
Wadau huyu manzi nafanyanae kazi ofisi moja kama kawaida nikamuanzishia mission target yangu niwenae ni settle ikiwezekana kuoa hapo baadae.

Nimemfanyia attempt kama mara mbili ajaeleweka kwasababu tumekua na ukaribu I like simplest things nikaanzisha haka ka live chart wote tukiwa tumekaa sehemu moja ofisini, hii ni account yangu ya WhatsApp naandika yeye anajibu, kwamajibu haya wazee toeni maoni basi

Kwavyote nilivyoandika nilikua namaanisha hapo.
View attachment 2780004
View attachment 2780005


Ushaelezwa utafute hela, sasa mbona yupo clear, kama huna katafute Mama Ntilie au single Mama.
 
Back
Top Bottom