Duu hiyo kiboko, mara nyingi huwa tunasikia wanaume ndo huwa tunaweka mitala(kuwa na wake wawili kwa wakati mmoja) ila hii ya leo kali! Achana na huyo dada, yeye kafanya makosa sana, nafikiri kitendo cha huyo mwanaume kuondoka na kumuacha huyo dada ni cha kishujaa na kitumike kama funzo kwa yeye na wote wenye tabia chafu za namna hii.