abudist JF-Expert Member Joined Oct 25, 2009 Posts 854 Reaction score 784 Sep 7, 2025 #1 Wakuu habari, Wapi tapata soko la mihogo kwa bei nzuri? Natarajia kuvuna mwezi huu. Shamba lipo Miono, Bagamoyo ila wanunuzi wa pale ni madalali wanalalia bei. Na eka 5 ziko tayari kuvunwa. Mihogo yake ni mizuri sana.
Wakuu habari, Wapi tapata soko la mihogo kwa bei nzuri? Natarajia kuvuna mwezi huu. Shamba lipo Miono, Bagamoyo ila wanunuzi wa pale ni madalali wanalalia bei. Na eka 5 ziko tayari kuvunwa. Mihogo yake ni mizuri sana.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 166,450 Reaction score 185,055 Sep 9, 2025 #2 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: Mahondaw