daudycharles
Member
- Feb 19, 2014
- 50
- 16
Habari zenu,
Natafuta soko la kuuza mayai kienyeji, mimi ni mfugaji mdogo, kwa sasa kuku wangu wanataga mayai 8-9 kwa siku, bei yai moja ni Tsh 400.
Kwa aliyeko karibu nami naweza kumletea.
Nipo changanyikeni karibu na na chuo cha UDSM.
Simu 0652199902
Natafuta soko la kuuza mayai kienyeji, mimi ni mfugaji mdogo, kwa sasa kuku wangu wanataga mayai 8-9 kwa siku, bei yai moja ni Tsh 400.
Kwa aliyeko karibu nami naweza kumletea.
Nipo changanyikeni karibu na na chuo cha UDSM.
Simu 0652199902