Nenda kwenye masoko makubwa ongea na wauza Kuku wanaochukuwa kwa jumla, wao wanakuja wenyewe kwako na gari yao ila bei yao sasa ndio muelewane.Habari wanajukwaa mwenye kujua soko la kuku wa nyama mkoani Mwanza anipe connection tafadhali. Mimi napatikana Usagara Nina broilers 358 Bado week Moja wawe tayari sokoni kwaajil kuuzwa