Unakodi wapi?
Unaonekana hujawahi kufanya export!!
Kontena utapewa bure na wakala wa meli kwa aidha ulibebe ukapakie mzigo kwako,au ukapakilie bandarini
Kuna gharama tu za bandari
Fanya utafiti upya utapigwa mzee halafu useme Magufuli mbaya
Unakodi wapi?
Unaonekana hujawahi kufanya export!!
Kontena utapewa bure na wakala wa meli kwa aidha ulibebe ukapakie mzigo kwako,au ukapakilie bandarini
Kuna gharama tu za bandari
Fanya utafiti upya utapigwa mzee halafu useme Magufuli mbaya
Waungwana nisaidie kujikwamua kiuchumi nitafuta soko la Karanga popote ndani na nje ya mipaka ya Tanzania mzigo upo wa kutosha no yangu 0674067474 karibuni