Hadi kufikia June 2018, Sober house zilikuwa 22 Tanzania mzima, ni kweli huduma zinazotolewa ni bure ila baadhi ya sober House unachangia gharama za chakula, maji, umeme nk
*MRC Tanzania*
Je! Una tatizo la utumiaji wa pombe au mihadarati
Je! mtoto au mwenza wako ana tatizo la ulevi na utumiaji wa mihadarati
Kwa huduma ya usaidizi wa kuachana na utumiaji wa pombe na dawa nyingine za kulevya unaweza kujaza form ya maombi kupitia link hapa chini
*KIGAMBONI SOBER HOUSE* Tuko kwa ajili ya kukusaidia wewe, Mwenza wako, Mtoto au ndugu yako