young super
JF-Expert Member
- Jan 21, 2013
- 257
- 315
Kuna kale kamfumo ka kutumia picha za uchi hii kwa kiasi kikubwa imepoteza thamani ya tendo la ndoa kwa vijana ambao hamjaoa/kuolewa.
Sijawahi jua kametoka wapi alafu haka kamchezo.
Sijawahi jua kametoka wapi alafu haka kamchezo.