Unadhani sifa eeh!!Ha ha ha ha ha ha
Ongea taratibu basiii
Geni nakugawa
Ile ilikuwa hatari shost.we dada hebu kunywa maji kwanza shusha pumzi
Ghkaaaa!!!!!
Kwahiyo ile ya 2015 na yenyewe nilikuwa kama hivi hivi
Cc dark angel
dark angel unaona sasa, hata sakayo alikuwa haelewi kama mie kumbe.Hebu niambie hapo kidoooogo
Ha ha ha .
Kazi kutujazia sever.
2015 na 2017
Same swagga
Same stories
Same mahaba.
Different men.
Ha ha ha ha AdelanteUnadhani sifa eeh!!
Nitafsirie kabla sijafukua makaburi yako.
unifanyie na magazijutooo kabisa au bodmass
Post sent using JamiiForums mobile app
JomoniiiiiiiIle ilikuwa hatari shost.
Ya 2017 ndiyo Hatari nyingine.
Kuna udhaifu sehemu Fulani haiwezekani.
Halafu anavyojua kupamba unaweza ukasema ni wanaume wa maana. Anapamba huyo hatari hadi makande yanaonekana pilao kuku.
Ha ha ha ha Adelante no tengo miedoUnadhani sifa eeh!!
Nitafsirie kabla sijafukua makaburi yako.
we dada hebu kunywa maji kwanza shusha pumzi
Ghkaaaa!!!!!
Kwahiyo ile ya 2015 na yenyewe nilikuwa kama hivi hivi
Cc dark angel
Ha ha ha ha ha
Post sent using JamiiForums mobile app
Mwenyewe. Hivi sikudai kweli!! Maana sina hela natafuta ninaowadai.Ha ha ha ha Adelante
Wewe ohhooo ntakuchapa wewe
huyu mwezenu kanikalia kooni sana anadandia asivyoviweza ata mimbwa. Naona leo kaamka ananiwaza sana kama hana wa kumsitiri amtafute Smart911 au Saint Ivuga au akajitembeze barabarani aangaliwe uzuri wake
Sakayo hajui kufungua code.