Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,831
- 6,878
Mbona hii uliikopi na kumtumia tena mahondaw ila mtoto huyu jana nilimuonya hasikii.
AaaQkhuu. Anatuona sote mi, wengine na wewe umoMungu anawaona lakini hahahah.
Hahaha
naikumbuka kwenye uzi huo huo smart kuja akaanza oohhh baby unajua mikono yangu inachofanya kwenye mwili wako when i kiss u!
mahondaw kuja na yeye, "ohhh supa dia nacheka kwa dharau prah prah prah" kile kicheko nilikuwa nakifananisha na mlio gari moja linaloitwa forokobe au mgongo wa kobe
Agata hapo umenisingizia......Nipitwe ili iweje,tena wewe ndo mwenyekiti na mratibu Wa hili valangati...
Mungu anawaona lakini hahahah.
Lakini shemela na wewe umeshika mpini kufukua hili kaburi.Agata hapo umenisingizia......
Hivi kumbe Aleppo alikuwa anawafuatilia hawa couple kuliko mimi??
Ladieeeeeeeeees N gentlemeeeeeeen ,introduceeeeeeeeeee.CC Couple.Wahusika wapo wapi?
HahahaHahaha
naikumbuka kwenye uzi huo huo smart kuja akaanza oohhh baby unajua mikono yangu inachofanya kwenye mwili wako when i kiss u!
mahondaw kuja na yeye, "ohhh supa dia nacheka kwa dharau prah prah prah" kile kicheko nilikuwa nakifananisha na mlio gari moja linaloitwa forokobe au mgongo wa kobe
Yule shoggakoNaniii??
Nitake razi mimi dume si keYaan wewe nakugawa jaman kwa babu yako asprin
Una undugu na wale walotishiwa na Makonda eeehKwendraa na wewe acha kunyapi nyapia
unapenda umbea wewe nilikuona page 16 mpaka page ya 20 unanyapia tuuu
ehhh kweli umbea haujawahi kukuacha salama
Yupi??? Maana nina mashoga wengi.Yule shoggako
Kwendraa na wewe acha kunyapi nyapia
unapenda umbea wewe nilikuona page 16 mpaka page ya 20 unanyapia tuuu
ehhh kweli umbea haujawahi kukuacha salama
Aaaah wee unahusika pakubwaAgata hapo umenisingizia......