Slogan za Lowassa zinavyoitesa CCM


Tuliza shanga wewe utazikata
 
Issue hapa sio paka ana rangi gani , issue ni kwamba je atakamata panya?.
 
Maamuzi magumu... Elimu kabla kilimo kwanza.... Kusema na kutenda..... Uchumi double digit.....Ajira janga la Taifa....Tulihuzunika pamoja na tunashinda pamoja....
 
[QUOTE=isotope;
Wewe isotope ile kesi yako ya kumuibia mjomba wako zile machine imefikia wapi?
 
ndege wa rangi moja huruka pamoja. bila shaka na nyie ni wezi pia.


EL 4 life,Ngoja vijana wa WAMA waje uwasikie

Mkuu punguza wivu,huko unakoelekea utamzidi hata mwandani wako.Lowassa anasubiriwa na watanzania,ni suala muda tu

WAMA at Work!!
 
Jina lako linaonesha wazi kwamba unamtaka Lowasa kwa kuwa ni mmasai mwenzio! Upuuzi mtupu!

We filipo peleka ukabila wako mbali. Ukiendelea na ubaguzi wako huo siku moja utageuka kuwa mla nyama za watu.
 

Na siku wakimuona anakojoa Nape lazima atakimbilia TBC kutoa tamko. Lowassa piga galagaza ndo rais wa hii Tanganyika ya mijitu iliyojaa fitina kama LISITTA.
 
Lowasa namkubali, Kiongozi wa Maamuzi Magumu na ndoto sahihi. Hawa vijana wa WAMA wote wamesoma shule alizoanzisha EL
 
Kuelekea uchaguzi mkuu mwakani Lowassa atawajambisha sana gesi yote tumboni nje
 
Ccm hakuna mwenye sifa za kugombea uraisi 2015 wote ni wezi na mafisadi wakubwa acheni mambo ya unafiki lowassa ni mgonjwa hata hawezi kubeba kikombe cha chai kwa muda wa dakika 3 ccm ni janga la taifa
View attachment 187647
 
Ccm hakuna mwenye sifa za kugombea uraisi 2015 wote ni wezi na mafisadi wakubwa acheni mambo ya unafiki lowassa ni mgonjwa hata hawezi kubeba kikombe cha chai kwa muda wa dakika 3 ccm ni janga la taifa
View attachment 187647

Acha tabia za mama yako wewe.kwani ikulu anaenda beba vikombe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…