Slim Laptop aina ya ASUS inauzwa bei nzuri

Slim Laptop aina ya ASUS inauzwa bei nzuri

biasharaTz

Senior Member
Joined
Apr 14, 2016
Posts
163
Reaction score
79
Helloo
Inauzwa laptop yenye sifa hizi
1. Aina: ASUS nyembamba
2. Rangi: Nyeupe
3. Processor: Intel (R); Core(TM) i3-31100 CPU@2.40GHz
4. RAM: 6.00GB
5. HDD: 500GB
6. Window 8
7. Operating system: 64
8. Bei: 480,000/= maongezi yapo
9. Inapatikana: Dar es Salaam
10. Mawasiliano: call/whatsapp 0777777766

Note: Betri yake sio nzuri sana inakaa na chaji kwa muda usiozidi dakika 45 lakini mambo mengine ipo vizuri sana sana

Karibuni sana
IMG20180513104005.jpg
IMG20180513103937.jpg
IMG20180513103855.jpg
IMG20180513103828.jpg
 
Kwa lugha nyingine huwa tunaziita desktop. Ungetafuta betri mkuu ili uiongezee thamani laptop yake
 
Ingekuwa hp tungeongea biashara,hii brand ya accer sijatokea kuzikubali tangu nizijue
Poa poa Mkuu asante kwa kutia baraka zako katika tangazo.
Lakini zipo poa sana, jaribu kutumia ukipata nafasi naamini hautajutia uamuzi wako.
 
Katika makosa huwa sifanyi ni kununua electronic devices ambazo ni used.
 
Katika makosa huwa sifanyi ni kununua electronic devices ambazo ni used.
Mkuu inategemea na hali yako ya kiuchumi ipo vipi mosi, pili kuna baadhi ya vitu kupata kipya 'genuine' ni changamoto kubwa sana. Mfano mwepesi, umewahi miliki gari kama scania113, spea genuine brand new ni ngumu sana
 
Back
Top Bottom